Home » » ETI KANUMBA STEVEN AFARIKI DUNIA JAMANI

ETI KANUMBA STEVEN AFARIKI DUNIA JAMANI

Nilikua sitaki kupost habari hii maana bado nipo kwenye deny....nimesoma kwenye blog mbalimbali na kupewa habari na watu wenye uhakika kwamba Muigizaji nyota wa filamu nchini Tanzania Steven Kanumba amefariki leo usiku huu, kifo chake hakijajulikana vizuri, wengine ajali, wengine kasukumwa kaangukia kisogo ili mradi kila mtu na lake ila kwa  habari kamili fatilia  daresalaam-yetu blogspot.com

MAY YOUR YOUNG SOUL R.I.P. STEVEN
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

1 comments:

Anonymous said...

I WILL ALWAYS LOVE YOU STEVEN, ALWAYS.

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger