SAMAHANI KWA PICHA : POLISI MSTAAFU AMCHARANGA MWANAE WA MIAKA 4 KWA MAPANGA


polisi-amcharanga-mapanga-mwanae-miaka-4-picha-2

HUZUNI: MTOTO WA MIAKA 4 DEVOTHA GERLAD ALIYEKATWA MAPANGA NA BABA YAKE,HAPA AKIWA HOSPITALI KWA HUDUMA AYA KWANZA

Mkazi wa kitongoji cha Sango kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga Samson Bwire (54), anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kumcharanga mapanga mtoto wake Devotha Gerald (4) kwa sababu za wivu wa kimapenzi.

Tukio hilo limetokea leo jioni nyumbani kwa Bwire baada ya kuanza kugombana na mke wake Happiness Elius (28) huku akiwa amelewa pombe ambapo, mkewe alikimbia kitu kilichosababisha kumgeukia mtoto Devotha na kuanza kumkata mapanga kichwani.

Kwa mujibu wa majirani, kelele zilisikika kutoka kwenye mji huo na kwamba walipoenda walimkuta Bwire akichoma nguo za mke wake, na alipowaona aliingia ndani na kuanza kumkata mapanga mtoto huyo huku akiwa amefunga mlango.

Imefafanuliwa kuwa, baada ya kusikia kelele za mtoto, majirani walianza kuvunja milango huku wakiomba msaada kituo cha Polisi na baada ya Polisi kufika walifanikiwa kumnusuru mtoto akiwa amejeruhiwa vibaya sehemu za kichwani.

Majirani kwa hasira walianza kumpiga Bwire ambaye ni askari polisi mstaafu wa cheo cha koplo kwa nia ya kumwua, hali ambayo imelipa jeshi la Polisi kazi ya ziada kumnusuru na kumpakia kwenye gari kwenda kituoni.

Hata hivyo Wakati gari la Poisi likiwa katika mwendo wa kasi eneo la soko la Mkulima, Bwire ameruka kutoka kwenye gari na kuangukia kwenye Lami kitendo kilichomsababishia majeraha makubwa sehemu za usoni.

Mtoto Devotha na baba yake Bwire wote wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwa matibabu huku Bwire akiwa Chini ya Ulinzi mkali wa polisi.


                    
               Mtoto Devotha akihudumiwa na wauguzi kujaribu kumuokoa maisha yake

                   Uuuwwii pole mtot mzuri Mungu atakuponya jamani.....( am sobbing for the pain this lil angel is going thru)
polisi-amcharanga-mapanga-mwanae-miaka-4-picha-0

                    Mtuhumiwa akiwa hoi hospitalini baada ya kupokea kichapo kutoka kwa majirani wenye hasira
ASKARI POLISI MSTAAFU SAMSON BWIRE AKIWA AMEFIKISHWA HOSPITALINI MDA MCHACHE BAADA YA KURUKA KUTOKA KWENYE GARI AKIJARIBU KUKIMBIA. Ambapo alipatiwa kisago cha ukweli na majirani wenye hasira kali...
                            

 Mtuhumiwa akiwa hoi hospitalini baada ya kupokea kichapo kutoka kwa majirani wenye hasira (wangelinyofoa na maini kabisa, baba gani unaweza kumfanya mwanao hivi kweli? )                           
   KINA MAMA WALIOGUSWA NA TUKIO WAKIWA NJE YA HOSPITALI KUMUONA MTOTO HUYO.

NEWS UPDATE:  MTOTO DEVOTHA GERALD AFARIKI DUNIA


HABARI NILIZOZIPATA SASA HIVI BAADA YA KUPOST HIZI HABARI NI KWAMBA MTOTO DEVOTHA HUYU ALIEUMIZWA HIVI NA BABA YAKE HATIMAYE AMEFARIKI DUNIA MASKINI YAANI ROHO INANIUMA JAMANI UUUWWIII JAMANI UUWWWII NALIA KWELI MASKINI OOOH GOD MTOTO WA WATU MPUMZISHE KWA AMANI JAMANI....OOH NO I HAVE TO STOP I CANT WRITE ANYMORE..... DAAH INAUMA MNOOO...


R.I.P BABY DEVOTHA




Habari na picha hizi kwa hisani ya http://bundalawilliam.blogspot.com

VERY SAD: ANGELINA JOLIE KAKATWA MATITI YOTE JUU YA CANCER.... ..



Mrembo na mama wa watoto sita Angelina Jolie amesema kwamba amekatwa matiti yake yote pamoja na kuondoa mfuko wake wa uzazi. Kwenye taarifa aliyoandika kwenye gazeti la New York Times, Bi Jolie amesema alifanyiwa uchunguzi wa celi zake na kugunduliwa kwamba alikuwa katika hatari kubwa sana ya kupata saratani ya matiti. Ndipo akaamua kukatwa matiti yake mawili.
Angelina mwenye umri wa miaka 37 na mama na watoto sita, alipoteza mamake mzazi kutokana na maradhi ya saratani ya matiti.
Anasema aliandika taarifa hiyo kuwahakikishia watoto wake kwamba hakuwa kwenye hatari ya kupata saratani tena. Kulingana na Jolie madaktari walisema kuwa uwezekano wake kupata Saratani ya matiti ni asilimia 87 huku akiwa na asilimia 50 uwezo wake wa kuugua Sarati ya mfuko wa uzazi.

''Niliamua kuchukua hatua mwenyewe ili kuzuia uwezekano wowote wa kuugua Saratani hiyo,'' alisema Jolie. Alisema kuwa shughuli hii ilianza mwezi Februari na kukamilika mwishoni mwa mwezi April.
Katika taarifa iliyoandikwa Jolie na yenye kichwa, 'Uamuzi wangu wa kimatibabu',Jolie alieleza kuwa mamake alipambana na Saratani kwa miaka kumi na kufariki akiwa na umri wa miaka 56. Alisema kuwa alielewa fika kuwa siku moja atawahi kuugua Saratani na ndio maana akachukua uamuzi wa kufanyiwa upasuaji huo mgumu wa wiki tisa ambao ulihitaji kukatwa matiti.

Uwezekano wake wa kuugua saratani sasa umeshuka kutoka 87% hadi 5%. Alimsifu mumewe Brad Pitt, kwa kumuunga mkono na kumfariji kwa kila aliyopitia, na kusema kuwa ametulizwa na kuwa wanawe hawakupata lolote katika matokeo ya uchunguzi wa madaktari tangu kufanyiwa upasuaji. "ninahisi kuwa na nguvu kwa uamuzi niliofanya, na kwa kuwa ninasalia kuwa mwanamke hata baada ya kuondoa viungo hivyo,'' alisema Bi Jolie. "kwa mwanamke yeyote anayesoma maneno haya, natumai ataweza kujua kuwa wanaweza kufanya uamuzi.'
Pichani ni Angelina Jolie pichani na mumewe na watoto wakiwa katika moja ya safari ambazo husafiri pamoja mara kwa mara . Maskini mi nampendaga huyu dada namuombea Mungu amlinde na amponye ili aweze kuendelea kuishi na kulea hao watoto.... Pia wewe kama ni mwanamke unaesoma habari hii tukumbuke kufanya ile check yetu ya matiti ili tuweze kujua afya zetu ....

DUUH HII KALI YA MWAKA: WANAFUNZI WAVAMIWA NA MAPEPO GHAFLA.....

            
Katika hali isioya kawaida  wanafunzi wa shule ya Sekondari Manzese iliyopo Manzese Uzuri, jijini Dar es Salaam wamesemekana kuvamiwa na nguvu zisizoeleweka zilizosababisha watu ku-conclude kua ni  mashetani;  ambapo wanafunzi hao walianza kuanguka hovyo darasani huku wakipiga kelele na kuongea maneno yasiyoeleweka na kusababisha hofu kutanda maeneo hayo.  Tukio hilo limetokea kuanzia saa nne asubuhi ambapo alianza mwanafunzi mmoja kupiga kelele na kuanguka wakati wakiendelea na masomo ambapo alitolewa nje ya darasa lakini cha kushangaza waliendelea kuanguka wengine wengi huku wakipiga kelele na kupigana kama vichaa.
           
walimu walistaajabu na kukatisha masomo na kuanza kutafuta mbinu na njia mbali mbali za kuwatuliza wanafunzi hao ikiwa ni pamoja na maombi ya haraka haraka yaliyosaidia wanafunzi hao ku-calm down baada ya muda.
        
hapa maombi yakiwa yanaendelea

watumishi wa Mungu walijitokeza na kuanza kuombea wanafunzi hao maana haikujulikana ni mapepo ama ni ugonjwa gani....so kwa tukio kama hili maombi ndio solution ya haraka ilioonekana kusaidia wanafunzi hawa.
http://3.bp.blogspot.com/-3eevM--54iE/UZHxd8WhSyI/AAAAAAAAJpg/-PBwxO4uj7I/s1600/maz.jpg
Mwanafunzi akiwa hajielewi...........
      
walimu na baadhi ya wazazi wakijadili hali iliotokea
      
Na kama kawaida watu walijaa eneo hilo kushuhudia kinachoendelea..... mpk tunaingia mitamboni haijajulikana wanafunzi hao walikumbwa na nini au pepo gani na liliwakumba kwa sababu gani au kutokea wapi....... tukipata taarifa zaidi kuhusu tukio hili la mwaka, tutawajulisha wasomaji wetu.. 


                   *****JESUS TAKE THE WHEEL******

HAPPY MOTHER'S DAY TO ALL MOTHER'S IN THE WORLD...

                           Mandy and mom

                   
                    Mamii Janis with baby Alex
                   
                   Mamii Mariah with baby Becky our new boy Nathan..... 


Mummy Yasmine with baby Yassir and Zaynab


Mummy Yasmin and her adorable babies ....

               
     Mamaa Tina Machota my twin wangu wa nje..lol a.k.a mama Subla... hepi mazas day hun


mama Subla na warembo wake Su na Blandy

                              
Mamaa Doreen and baby Victoria aka Vicky wakiwa katika pozi.... hepi first mother's day Doreen
                  
                  Happy mother's day my dear Julie Lyanga
                 
Happy first mother's day my daughter Maureen a.k.a mama Jarome.... hope unaenjoy being a mom ... lol i cant wait to hold my lil man aisee

Mumy Hellen with baby G and princess Julia jamani, hepi mazas dei wapendwa...

MOTHER'S DAY GREETINGS CONTINUE......

Happy mother's day Mamaa Dianarose Munupe na my son wake 

Happy mothers Day to all momies! Here is momie Teddy Ottaru Nyoni with her lovely sons Howard and Hollis ! Love you momies!  



Pichani ni  Mommy Zuhura  na baby Q wakihave fun za hapa na pale.......
message ya mama Q inasema  ''I was a complete woman the day u were born,am not only a mommy but also a caregiver,grow wisely my darling daughter' 

                  
                 happy mother's day to mamaa Lilian Mrema  na baby Michelle ...

                
                    Dorothy Mtatifikolo with baby  KahlanMary Nkwabi na babies wake jamani , happy mamaz day wapendwa

Jacquelyine Ntufye Kivevele na my son wake baby Giancarlo. 

Jacqueline Mbaga and her baby 

MOTHER'S DAY GREETINGS WEEKEND SPECIAL ................

                     
Mumy and baby Sasha.... mama anasema anakutakia maisha mema na marefu and anakupenda sana mtoto mzuri, hepi mama's day 
                 
                 mamaa Elizabeth Kilato with mrembo Noreen

                          
                                          mom Ruby Doryn with Prince-Zii , 

                           
                             Lydia Thomas with baby Kasinga

                            
Thats baby Aeman and mom Hindu... Celebrating the first mothers day together. Wat a beautiful thing to be a mother


Mother's day greetings goes to mamii Nyamo Perusi with her byutiful babies,    

                                   
                     Pichani ni mamii Zeimmy Nickolaus Mbululo na baby wake.

                 
                 Happy mother's day mamaa Sheila Mbululo na mrembo wako jamani...
               
Mamaa Upendo Mmari Daudi  msg yake ya mamas day anasema ''Namshukuru sana MUNGU kunifanya mm mama wa wtt watatu ( Dillon,Dilwen na Donnelly).Nawapenda sana wanangu.MUNGU awabariki siku zote.'' 

               
               Mama Kareen akiwa na babies wake wazuri baby Alkin na baby Alreenah

Anneth Nusurupia and her lovely baby girl

MOTHER'S DAY WEEKEND DEDICATION.........HAPPY MOTHERS DAY TO ALL BEAUTIFUL MAMAZ OUT THERE


Happy mother's day mamii Hasna Mohammed with baby girl Mishal and baby boy Armani....muwe na siku ya mama njema .....


Mamii Nakiete Msofe with baby Jada wakiwa wamepozi wakionekana hawana matatizo kabisa hahahaha happy mother's day Naky
Mother's day message is My Mother is My Everything!.....




Happy first mother's day dear Judith Kombe, with baby boy Manason ..hope mtakua na sikukuu ya mama njema ...kisses and hugs.....


Happy mother's day dear Josephine Karugila and baby Divine...
Mother's day message is ' With Mom, happiness is always'

Happy mother's day mamii  Joan Ellisome Luta,  naona mpo kwenye pozi  kali with baby  GiftMourieen ....hope u'll have a blessed mother's day....hugs

                 
                Happy mother's day to Lola Lengwana na baby Lolandy 
Mumy & twins(Lorandy&Loraine)
                     
                     mumy with baby Lorein

                                
                               Happy mother's day Rhoda Kaduri

                             
                             Happy mother's day mumy Lilian and baby Erin


Happy mother's day mumy Antonia Mwaisumo Chamwenye with baby Ian ......
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger