UUWWII MAJANGA: MAFUTA YA UBUYU SIO SALAMA KAMA YANAVYOSEMEKANA


Mafuta ya Ubuyu ambayo yamejitwalia umaarufu siku za karibuni kiasi cha kufanya yawe ya bei mbaya sana yameelezwa kuwa si salama kwa afya..

TFDA wamepiga marufuku kwa kuwa yana Tindikali ya mafuta, na anayekunywa kwa wingi ana hatari ya kupata Kansa za aina mbali mbali. TDFA inaonya jamii kuwa mafuta hayo si mazuri na si salama na inashauri watanzania kuacha kutumia.

HABARI KAMILI HII HAPA KUTOKA HABARI LEO
Imechapishwa Jumatatu, 08 Julai 2013 | Imeandikwa na Theopista Nsanzugwanko

BAADA ya kuonya wananchi wanaotumia dawa za tiba mbadala ambazo hazijathibitishwa, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), sasa inawataka wananchi kuacha kutumia mafuta ya ubuyu kwa kunywa kama dawa.

Akizungumza na gazeti hili juzi katika Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, msemaji wa TFDA, Gaudensia Simwanza, alisema Mamlaka hiyo ilipima na kubaini mafuta hayo yana tindikali ya mafuta.

Alifafanua katika maonesho hayo maarufu kama Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, kwamba mafuta hayo hayafai kuliwa na binadamu na anayekunywa kwa wingi, yuko hatarini kupata saratani za aina tofauti tofauti.

“Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la wajasiriamali wanaouza mafuta ya ubuyu kama dawa, kwa kuwaelekeza wananchi kunywa. Napenda kuwataarifu kuwa mafuta hayo ni hatari kwani yana tindikali ya mafuta,” alisema.


Sos: Habari Leo..

ANGALI MASWALI NA MAJIBU KWA RAIS OBAMA LIVE FROM IKULU YA TANZANIA NOW

BARRACK OBAMA IN TANZANIA...............



Barack Obama arrived in Tanzania today on the final leg of his tour of Africa - and while he is there he is set to be welcomed by a familiar face. The President's predecessor George W. Bush will also be in the the country addressing a conference on African women, and the two men are planning to meet at the U.S. Embassy in Dar es Salaam tomorrow.
Mr Obama and Mr Bush will lay a wreath to commemorate the embassy bombing which killed 11 people in 1998.
Festive: The President was seen dancing along to the music on the red carpet at the airport
obama akicheza nyimbo ya Kitanzania zilizokua zikitumbuiza wakati wa kumpokea kwenye  red carpet hapo airport

Arrival: Barack Obama was greeted by a Tanzanian band as he landed in Dar es Salaam today
The current President has flown in from South Africa after first visiting Senegal in a trip to promote ties between the U.S. and Africa's leading democracies. He is set to meet with the president of Tanzania, Jakaya Kikwete, as well as a number of American and African business hoping to boost trade in the region.
Road show: Tanzania is the last stop of President Obama's African tour

Showing their moves: A group of dancers greet the First Couple as they arrived in Dar Es Salaam on Monday

Swept away: Malia's hair gets caught in the wind as they disembark from Air Force One

Greeting the group: The first couple met a young pair of children, as their daughter Sasha and niece Leslie look on

Happy glad-handing: President and First Lady Obama wave alongside Tansanian President Jakaya Kikwete and First Lady Salma

Welcome: Well-wishers line up in Dar es Salaam in anticipation of Mr Obama's visit

Happy to be there: This is President Obama's first time visiting the African nation

Meeting the masses: Mr Obama shook hands with fans outside of the state house in Dar Es Salaam

Celebration: Locals donned clothes printed with the President's face in honour of his visit


(more pictures to come stay tuned.....)

MOLA MPE WEPESI:- BARNABA APOTEZA FAHAMU WAKATI WA MAZISHI YA MAMA YAKE.

Umati wa watu ukiwa umekusanyika nyumbani kwakina
Barnaba  kutoa heshima za mwisho..!
Familia wakitoa heshima za mwisho.....!!


Ni huzuni na sintoamini utawala kipindi hiki inapofika kuagana
 mara ya mwisho na mpendwa wako....
Barnaba akiagana na Mama ake kwa mara ya mwisho.....!!


Madee akiwa na  Lady Naa......!!

Joh Makini baada ya Kuaga Mwili.....!!
Baadhi ya wanakikundi wanaounda Tanzania House of Talent (T.H.T)


Mwili ukiwa umepakiwa tayari kabisa kuelekea makaburini
kwaajili ya maziko kumpumzisha
Mama....!!


Esmah Khan & Hawa ntarejea walikuwepo
kuwafariji wafiwa...

Hapa mwili ukiwa umewasili makaburini tayari kabisa kwa maziko...!

Jeneza likishushwa kaburini na wanafamilia....!!


Barnaba akitupa mchanga wa mwisho kwenye kaburi la marehemu mama yake

Barnaba akionekana kuishiwa na nguvu kabisa mpaka kufikia
hatua ya kutokuweza kusimama,
ilibidi asaidiwe...!!
Mume wa Bi Mariamu Arubeth akiweka mchanga kaburini...!!
Jeneza likiwa ndani ya kaburi tayari kwa kuanza kufukiwa na mchanga.....!
Hyper Man HK alikuwepo pembeni na mwanamuziki Shilole...!!
Producer Lamar  wa Fishacrab Studio alikuwepo pia...!
Hali ile ya uchungu na kulia sana ilipelekea Barnaba kukosa
nguvu na kuzimia kwa dakika kadhaa...


Baada ya kuzinduka akisaidiwa kuingia kwenye gari kuwaishwa
Hospital kutokana na kupoteza nguvu kabisa...!!

Simple the Boy alionekana kuwa mbele kwenye
 ratiba ya makaburini
 kuakikisha mipango inaenda sawa...!!


Mume wa Marehemu akisimika msalaba kaburini
..!!
Msemaji wa familia akisoma historia fupi ya
 marehemu Mariamu Arubeth...!!







Msemaji wa Familia akitoa maelekezo  kwa waombolezaji mara
 baada ya kumaliza shuguli a maziko...!!
Umati wa waombolezaji wakitawanyika makaburini baada
ya shuguli ya mazishi kukamilika...!!
Mama Diamond Akimuwakilisha mwanawe ambae yuko Comoro kikazi kwenye mazishi hayo. Picha zote na Thi is Diamond
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger