Home » » DAAH!! MAMBO GANI YA KURUSHIANA MABOMU KWENYE MIKUTANO JAMANI.....

DAAH!! MAMBO GANI YA KURUSHIANA MABOMU KWENYE MIKUTANO JAMANI.....


Watu wawili wanahofiwa kupoteza maisha na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa kutokana na mlipuko wa bomu lililolipuka kwenye mkutano wa Chadema katika eneo la Soweto, kata ya Kaloleni jijini Arusha, wakati wa kufunga kampeni za uchaguzi wa madiwani katika maeneo ya jiji hilo.



Maelfu wakimpungia mikono Mbowe wakati akiwasili.

Habari na picha kutoka GPL
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger