Home » » WATU WALIOGANDANA

WATU WALIOGANDANA

UMATI wa watu wakiwa wamefurika katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam , mapema leo wakiwa na hamu ya kutaka kuwaona mwanaume na mke wa mtu waliodaiwa kugandiana wakifanya mapenzi katika moja ya nyumba za kulala wageni wilayani Temeke. 
 Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Temeke, Dk. Aman Malima akishangaa kuona umati huo
Police walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu waliofurika Hospitali ya  Temeke kushudia tukio hilo
Baadhi ya watu wakiwa hapo kushudia watu hao walio gandiana
Wananchi wakishinikiza waoneshwe wapenzi hao
Sikiliza 
Part 1
Part 2
Source: Free Bongo
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger