Home » » Mtu mmoja afariki ktk vurugu kati ya wamchinga na mgambo Mwanza.

Mtu mmoja afariki ktk vurugu kati ya wamchinga na mgambo Mwanza.

Shughuli za biashara na kijamii katikati ya jiji la Mwanza leo zimesimama kwa zaidi ya saa tano, kufuatia vurugu kati ya wafanya biashara ndogo ndogo maarufu kama Machinga na askari mgambo wa jiji la Mwanza, vurugu ambazo zimesababisha kuuawa kwa mtu mmoja baada ya kupigwa risasi na wengine wawili kujeruhiwa vibaya.
Kwa hisani ya http://swahilivilla.blogspot.com
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger