Home » » BUS LA DAR EXPRESS AJALI TENA

BUS LA DAR EXPRESS AJALI TENA


Habari zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema watu 65 wamenusurika kufa eneo la Segera Mkoani Tanga baada ya basi la Dar Express lililokuwa likitokea Arusha kwenda Dar Es Salaam kuteketezwa lote kwa Moto.

Basi la Dar Express kutoka Arusha kwenda Dar linateketea kwa moto eneo la Segera..thank God abiria wote wamenusurika hakuna aliepoteza maisha..
Habari zaidi zitawajia punde




Habari na picha kupitia mitandano ya ITV Daima na Ujanaz.blogspot.com
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

2 comments:

Anonymous said...

Yesuuuuuuuuuu Mungu atusaidie

Jestina George said...

Dah this is so sad afadhali wamepona ila vitu vyao sijui watalipwa vipi?

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger