Da Linda na Libe wakionyesha msisitizo wa CHADEMA |
Watatubania lakini wataachia tu, mnapiga watu mabomu kwenye maandamano lakini ukweli uko pale pale CHADEMA funika bovu, pichani ni ufunguzi tu wa tawi la CAHEDEMA Houston TX, USA...watu waliebuka nyomi kama mnavyowaona hapo, watu wenye akili zao na kazi zao ila wamekuja kuchukua card za CHADEMA kuonyesha msisitizo, Houton Texas beeeibyeee M4C FUNIKA BOVU........na baadoooo
CHADEMA HOUSTON TX, USA, wakiwa makini kusikiliza sera za Mh. Mbowe na Sugu, jamani mmetisheeerrrr...... full respect yaani......
HAPANA CHEZEYA MAJEMBE YETU KABISAAA......SUGU AND MR MBOWE......
chek nyomi ya CHADEM HIO TX, hadi raha....
0 comments:
Post a Comment