Home » » RAIS ZUMA KUOA MKE WA NNE

RAIS ZUMA KUOA MKE WA NNE



Duuh rais Zuma umetisherrrrr: Mbali ma kuwa na vimwana watatu tayari Sizakele MaKhumalo (right), Nompumelelo Ntuli (left) and Thobeka Mabhija (second left), Rais wa Africa ya Kusini Jacob Zuma anatarajia kuongeza kimwana mwingine wa nne wiki ijayo; ili kuongeza msisitizo katika swala zima la unyumba lol 


Techinically huyu ni mke wa 6:  Ikumbukwe kua Jacob Zuma alishaoaga wake 5 na sijui ikawaje akamtaliki  mmoja na mmoja alijiua sijui kwa shida gani na hivyo akabakiwa na watatu ambapo sasa,  ameonelea aongezege mwingine m1 wawe foo.....

tihihihhihihihiiiiii kibabu bado kinadai unaambiwa, tihihiii
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger