Home » » JENIFER HUDSON NAYE KORTINI LEO

JENIFER HUDSON NAYE KORTINI LEO

Mwanamuziki mwenye suati moja ya hatari sanaJennifer Hudson; leo April 23, 2012 nae alijitokeza  kortini kusikiliza muendelezo wa kesi dhidi ya  William Balfour mjamaa alieua familiya ya Jennifer mwaka 2008 akiwa ni mshitakiwa pekee wa mauaji hayo mpaka dk hii huko Chicago.


William Balfour is charged with the 2008 murders ya  Jennifer Hudson's mother, Darnell Donerson, kaka yake Jenifer  Jason, na  7-year-old nephew. 


Muendesha mashtaka amesema  Balfour, alikua amemuoa dada yake Jennifer  Julia, na alishawahi kuwatishia kabla ya kufanyia  mauaji hayo ambayo inasadikiwa ni kwa sababu ya  jealous. Jenifer ametakiwa kuhudhuria trial hio mwanzo ahadi mwisho kwani yeye anaweza kuitwa saa yoyote kutoa ushahidi kwa kuwa yeye alikuwepo mjengoni siku ya tukioa na yeye tu ndio aliyenusurika siku hio.... 


Source: People magazine
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger