Home » » AIRPORT YA BONGO FULU BAHARI

AIRPORT YA BONGO FULU BAHARI

Watu walikua wamepozi eneo hili ila mvua ikaharibu pozi ilibidi wahame fasta ili ndoo zichukue nafasi lol . hio ni TANZANIA INTERNATIONAL AIRPORT unaambiwa yaani Airport fulu mafuriko kama huna mashua au boti siku hio ya J2 basi wewe kwenda ulaya sahau, teh teh teh uuwwwii hiii ni  aibu ya Taifa aisee....maana wageni waliokuja au wanaoondoka sidhani kama wanaelewa hii kwani HAIHUUUUUU......

Kwa habari na picha zaidi ...bofya..:http://millardayo.com/
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger