Home » » UVCCM WAKABIDHIANA MAUMIVU KWA AJILI YA UCHU WA MADARAKA .....KWA KWA KWA KWAAAAAAA AIBUJEEEEEEE

UVCCM WAKABIDHIANA MAUMIVU KWA AJILI YA UCHU WA MADARAKA .....KWA KWA KWA KWAAAAAAA AIBUJEEEEEEE

UVCCM wapeana kichapo laivu UVCCM wapeana kipigo laivu kwenye uchaguzi [VIDEO]


Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

3 comments:

Anonymous said...

Hahahaha lol we Tina mgomvi jamani sina mbavu mie, sasa kwanini wamedundana wenyewe kwa wanyewe? mmmh kweli aibu sana...wanaonyesha wazi wazi jinsi gani wanajali matumbo maana km mwenzio akipata uongozi na km ni kwa ajili ya taifa what is the big deal? au huo mshahara????

Anonymous said...

UCHU WA MADARAKA UMEKITHIRI KATIKA CHAMA HIKI KIKONGWE, NA VIJANA WANAJUA HIYO NDO SEHEMU SAHIHI YA KUJIPATIA PESA, AIBU KUBWA SANA UVCCM, KAMA NYIE MKO HIVYO JE HAO WALIOWATANGULIA SI NDIO BALAAAA! NA JE MKIPEWA NCHI SI NDO MTATAKA MKAISHI MWEZINI! POLENI NA NCHI HII HAIWATAKI TENA.

Anonymous said...

kwani jaman nchi yetu inaelekea wapi? ujue huu ujana wetu tunatakiwa kuutumia vizuri sana na kuwa makin nao cz hali kama hiyo co nzuri kwa chama kikubwa na kikongwe kama hicho hata kama umechukizana vipi bt co hatua ya kupigana katika mikutano ni aibu na fedhea kwa chama kama hicho na wazee wa chama wanaona hali kama hiyo cjui wanajickiaje cz kipindi chao cdhan kama walifikia hatua hiyo, wazee wananafasi zao kila pahari japo kuwa mnajifanya mnataka kuleta siasa za kisasa na ujana bt bado sana, hakuna kijij ambacho hakina wazee.uvccm aibu hiyoooooooooooooo.

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger