Home » » MAMA KIKWETE AWATAKA WANASACCOS KULIPA MADENI KWA WAKATI

MAMA KIKWETE AWATAKA WANASACCOS KULIPA MADENI KWA WAKATI


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanachama wa Chama cha kuweka Akiba na Kukopa cha URSINO na REGENT (URESCO) kuwa na utaratibu maalum wa kukusanya madeni ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua wale wote watakaochelewa kulipa madeni yao.

Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) aliyasema hayo jana wakati akifungua SACCOS hiyo iliyopo  Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti huyo wa WAMA aliendelea kusema kuwa ili SACCOS iweze kuendelea ni lazima ijiwekee utaratibu wa kutoa  mafunzo na semina mbalimbali za kuwajengea uwezo wanachama wake  katika uendeshaji na kusimamia miradi ya jamii.

Kwa habari kamili bofya: http://daresalaam-yetu.blogspot.com/

Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger