Home » » HAYA MKISIKIA MWISHO WA DUNIA NDIO HUU, MTU ABAKA BATA

HAYA MKISIKIA MWISHO WA DUNIA NDIO HUU, MTU ABAKA BATA

Kama ulisikiliza hekaheka za leo katika leo tena!!


Hii imetokea jijini Dar es salaam jana asubuhi njemba imekutwa ikimuingilia bata mzinga mpaka akafa.Alimtoa bata kwenye banda na kuingia nae chumbani kwake na kumfanya kitendo  hicho  cha kinyama kwa ndege huyo


Inasemekana bata huyo ni wa famili ya huyo mchizi, na jamaa aliweza kupiga bao zake tatu za fasta fasta pindi alipomuingiza bata huyu kwa rum yake. Alipokutwa na kuulizwa kulikoni (sijui watu walijuaje) hakukataa alielezea kila kitu kuwa alikuwa kazidiwa.Wananchi wenye msisitizo mkali walimbeba bila msamaha  na kumpeleka kituo cha polisi na mpaka dakika hii haijajulikana kesi inaendeleaje.


Na wadau walipoenda mtani kwao kufatilia kilichotokea, wana mtaa wanasema hawataki hata kumsikia tena mtaani hapo asije kuwabakia watoto wao bure.


Uwwii angekua huku huyo angefungwa km amebaka mtu unaambiwa huku mnyama na mtu haki sawa ila kwetu sijui inakua vipi hapo...


Source ya habari: Dina Marios Blogspot.com
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger