Home » » MAMAZ WA DODOMA WAKUTANA RASMI

MAMAZ WA DODOMA WAKUTANA RASMI

Pichani ni wamama wa kutoka Dodoma wa kundi la mothahood lenye makao yake makuu nchini Marekani, wamama hawa walikutana jumamosi hii huko Royal Village Dodoma kwa nia na madhumuni ya kujuana zaidi ili kuendeleza umoja na kusaidiana zaidi ambayo ndio agenda kubwa ya kundi hilo, From right ni Dorice Tesha,katikati Zabibu Ndatama na left ni Aswila Habib.... 


Tumefurahishwa sana na umoja huu mamaz wa Dodoma tunawaombea kila la heri muendelee na umoja huu....more power to all mamaz ....
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger