Home » » AFANDE SELE NA 20% WAPATA KIPONDO

AFANDE SELE NA 20% WAPATA KIPONDO

Pichani ni afande sele na mwanamuziki 20% wakihuzunika na wakiwa wenye majonzi makubwa baada ya kukabiziwa maumivu makali toka kwa wajeda wenye hasira mbaya mjini Morogoro.

Inasemekana wajeda waliwapa kipondo cha ukweli mastaa hawa wa musiki wa kizazi kipya bila kuchukua statement na  kujua kama wanastahili kipondo hiko au lah.... na mara baada ya mkong'oto huo ndipo walipoambiwa watoe statement unaambiwa....baada ya kutoa statement Afande aliangua kilio kikubwa na mchozi mwingi kwa kuonesha maumivu, uchungu na hasira zilizomjaa ...


Duuh bongo bwana.... wajeda madai yao wapo busy na kazi yaani hata mastaa wanapata mkong'oto kama kawa..!!?? mweehh..!! Ila tukienda mbele na kurudi nyuma wasanii hawa walistahili hiki kichapo cha aina hii kama wezi jamani??  haya kwa more  nyuzi chungulia Bongo flava Music blogspot  ndio nilipotoa kisa hiki leo...
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger