Home » » THE VICE PRESIDENT AND THE OPPONENT DEBATE TONITE WAS A BOMB....JOE BIDEN KILLED IT...

THE VICE PRESIDENT AND THE OPPONENT DEBATE TONITE WAS A BOMB....JOE BIDEN KILLED IT...

Debate: Joe Biden and Paul Ryan at the vice-presidential debate in Danville, Kentucky
wakisalimia pindi walipowasili kwenye venue ya debate hio
Aggressive: Joe Biden went on the offensive in his debate against Paul Ryan
Hapo Biden akimwaga facts huku Ryan akiwa anato machozi maana hakuamini kama babu yuko fit kiasi hiki
Sitdown: The debate took place at Central College and was moderated by ABC's Martha Raddatz
Wiki iliopita Mr President hakua mkali sana kama wengi walivyomfikiria, alikua akionge point lakini kwa upole a opponent wake alikua naongea saaana plus uongo na hivyo kumfanya Mr President hata asimention point zingine muhimu. Leo ilikua zamu ya makamu wa rais kudabate na opponent wake....Babu Joe Biden utamuona mzee ila ameokoa sana jahazi leo, media mbalimbali zimempa Biden jina la ''the president attack dog'',  ambapo imekua nikweli kabisa kwani Biden leo hakua na huruma hata tone moja, amecharuka kama Mitt alivyojitia kucharuka last week, na kufanya mashabiki wa Democrat wapate nguvu mpya leo..... safi sana babu good job.......
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan klik disini untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Creating Website

0 comments:

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Sweet Home - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger